Nation iconNationAug 2, 2026 ~1 min source read

Siasa sasa zapelekwa WhatsApp uchaguzi wa 2027 ukikaribia

KATIKA siasa za Kenya za sasa, mapambano makali hayafanyiki tena kwenye mikutano ya hadhara, Bunge au runinga pekee. Makundi yaliyoundwa awali kwa ajili ya kuratibu shughuli na kuhamasisha wafuasi sasa yamegeuka kuwa uwanja wa kupimana nguvu, kujenga au kuvunja ushirikiano na kuonyesha uaminifu wa kisiasa.

Siasa sasa zapelekwa WhatsApp uchaguzi wa 2027 ukikaribia

Share this story

Send the public story page.

Useful takeaways from this story.

KATIKA siasa za Kenya za sasa, mapambano makali hayafanyiki tena kwenye mikutano ya hadhara, Bunge au runinga pekee.

Makundi yaliyoundwa awali kwa ajili ya kuratibu shughuli na kuhamasisha wafuasi sasa yamegeuka kuwa uwanja wa kupimana nguvu, kujenga au kuvunja ushirikiano na kuonyesha uaminifu wa kisiasa.

Kuongezwa, kuondolewa au hata kuzimwa kwenye kundi sasa ni ujumbe wa kisiasa unaoweza kuzua mjadala mkubwa.

Building the complete brief

The page is ready to read now. The fuller skim-friendly version will appear here automatically.

The useful part

KATIKA siasa za Kenya za sasa, mapambano makali hayafanyiki tena kwenye mikutano ya hadhara, Bunge au runinga pekee. Makundi yaliyoundwa awali kwa ajili ya kuratibu shughuli na kuhamasisha wafuasi sasa yamegeuka kuwa uwanja wa kupimana nguvu, kujenga au kuvunja ushirikiano na kuonyesha uaminifu wa kisiasa. Kuongezwa, kuondolewa au hata kuzimwa kwenye kundi sasa ni ujumbe wa kisiasa unaoweza kuzua mjadala mkubwa.

How it works

  • Hapo awali, wanaoasi walikuwa wakifukuzwa kutoka afisi za vyama au kuzuiwa kuhudhuria mikutano.
  • Leo, hatua hiyo hufanyika kwa kubofya kitufe cha kuwaondoa kwenye kundi la WhatsApp.
  • Aidha, makundi hayo yamekuwa mahali pa mijadala mikali kuhusu misimamo ya vyama.
  • Baadhi ya mapendekezo huzimwa humo kabla hata hayajafika bungeni, huku mengine yakianza kama mjadala wa WhatsApp na baadaye kuibuka kwenye mijadala ya Seneti na Bunge la Kitaifa.
  • Mvutano unaoendelea ndani ya ODM kati ya viongozi wa mrengo wa Linda Mwananchi na uongozi wa chama unaendelezwa kwa kiasi kikubwa kupitia makundi hayo.

What to take from it

Wiki iliyopita, wabunge wanaohusishwa na mrengo huo waliondolewa kwenye kundi la WhatsApp la Kundi la Wabunge wa ODM, ambalo hutumika kupanga ajenda za chama na kuelekeza wabunge jinsi ya kupiga kura au kujadili miswada. Walioondolewa ni pamoja na Maseneta Edwin Sifuna wa Nairobi, Godfrey Osotsi wa Vihiga na Richard Onyonka wa Kisii. Wabunge Babu Owino, Caroli Omondi, Caleb Amisi, Anthony Kibagendi, Clive Gisairo na Wilberforce Oundo pia walitimuliwa kwenye kundi hilo.

Details worth keeping

Sasa vita hivyo vimechacha kwenye makundi ya WhatsApp.

Keep reading in the app

Open the app view to save this story, compare related coverage, and continue from the same source.

Open in app