Nation iconNationAug 11, 2026 ~1 min source read

Wito wa uwekezaji katika Kiswahili ili kisibaki nyuma kidijitali

Waliohudhuria walijumuisha wasomi kutoka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na maafisa kutoka taasisi za lugha, wawakilishi wa mashirika ya serikali, mashirika ya kitamaduni, pamoja na wasomi kutoka vyuo vikuu vya Marekani. Mwaka 2021, shirika la UNESCO lilitangaza Julai 7 kuwa Siku ya Kiswahili Duniani, ikiwa ni mara ya kwanza kwa lugha ya Kiafrika kupewa hadhi hiyo ya kimataifa.

Wito wa uwekezaji katika Kiswahili ili kisibaki nyuma kidijitali

Share this story

Send the public story page.

Useful takeaways from this story.

Waliohudhuria walijumuisha wasomi kutoka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na maafisa kutoka taasisi za lugha, wawakilishi wa mashirika ya serikali, mashirika ya kitamaduni, pamoja na wasomi kutoka vyuo vikuu...

Mwaka 2021, shirika la UNESCO lilitangaza Julai 7 kuwa Siku ya Kiswahili Duniani, ikiwa ni mara ya kwanza kwa lugha ya Kiafrika kupewa hadhi hiyo ya kimataifa.

Ulidhihirisha ukweli kwamba Kiswahili kimekua na kuvuka mipaka ya Afrika Mashariki na kuwa lugha ya diplomasia, biashara na utamaduni barani Afrika na hata nje ya bara," alisema Profesa Ogechi.

Building the complete brief

The page is ready to read now. The fuller skim-friendly version will appear here automatically.

The useful part

Waliohudhuria walijumuisha wasomi kutoka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na maafisa kutoka taasisi za lugha, wawakilishi wa mashirika ya serikali, mashirika ya kitamaduni, pamoja na wasomi kutoka vyuo vikuu vya Marekani. Mwaka 2021, shirika la UNESCO lilitangaza Julai 7 kuwa Siku ya Kiswahili Duniani, ikiwa ni mara ya kwanza kwa lugha ya Kiafrika kupewa hadhi hiyo ya kimataifa. Ulidhihirisha ukweli kwamba Kiswahili kimekua na kuvuka mipaka ya Afrika Mashariki na kuwa lugha ya diplomasia, biashara na utamaduni barani Afrika na hata nje ya bara," alisema Profesa Ogechi.

Details worth keeping

ZAIDI ya wataalamu 200 wa lugha, wasomi, watengenezaji wa teknolojia na watunga sera kutoka kote Afrika Mashariki na Marekani (US) walikutana katika Chuo Kikuu cha Kisii wiki iliyopita kwa kongamano muhimu lililolenga kuhakikisha Kiswahili kinapata nafasi yake katika mustakabali wa kidijitali. Kongamano hilo la Kimataifa la Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki (CHAKAMA), lilijikita katika namna Akili Unde (AI), majukwaa ya kidijitali na teknolojia zinazoibuka zinaweza kutumiwa kukuza Kiswahili na kukiweka kama lugha yenye ushindani katika uchumi wa kidijitali duniani. Miongoni mwa wasomi mashuhuri waliohudhuria walikuwa Profesa Clara Momanyi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta, mwandishi mashuhuri Profesa Kithaka Wa Mberia, mwandishi wa tamthilia na mtaalamu wa elimu Professa Chacha Nyaigoti Chacha, miongoni mwa wengine.

Keep reading in the app

Open the app view to save this story, compare related coverage, and continue from the same source.

Open in app