Hii 2027 vita muhimu havitakuwa kati ya wagombeaji, ila kutofautisha ukweli na propaganda
TUNAPOELEKEA Uchaguzi Mkuu wa 2027, vita muhimu havitakuwa tu kati ya wagombeaji na vyama vya kisiasa. Vitakuwa pia vita vya habari — kati ya ukweli, propaganda, upotoshaji na uwongo unaosambazwa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
