Askofu, mbunge watofautiana kuhusu mchango wa Ruto matangani
Katika hotuba yake, mbunge huyo alimsifu marehemu kama mfuasi wa Rais Ruto na serikali yake. Alitaja miradi kadhaa ya serikali katika kaunti hiyo, akisema Rais Ruto amekuwa akichangia maendeleo ya Taita-Taveta.
